Mwenyekiti wa mtandao wa wanafunzi Abdul Nondo ambaye inasemekana kuwa alijiteka na baadae kupatikana mkoani Iringa amenyimwa dhamana na mahakama kwa madai kuwa usalama wake haupo hivyo wanamshikilia kwa sababu za usalama wake
jeshi la polisi lilisema baada ya kufanya uchunguzi wao waligundua hakutekwa, amenyimwa dhamana na hakimu kwa sababu watekani bado wako mitaani hivyo wanamshikilia ili kuepusha asitekwe tena.
Abdul Nondo mpaka sasahivi hajapewa nafasi ya kuongea na vyombo vya habari ili kujua nini kilimkuta.
Abdul Nondo anadhitakiwa kwa makosa mawili ikiwemo kutoa taatifa za uongo katika mitandao ya kijamii na kesi ya kujiteka.
RECOMMENDED FOR YOU:
- CHECK SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES TO STUDY ABROAD - CLICK HERE
- HIGH EDUCATION LOAN FOR UNDERGRADUATE AND POST GRADUATE. CLICK HERE
- MAJINA WALIOCHAGULIWA AJIRA ZA SENSA 2022 - Selected Applicants For Census [ DFF ]. Click Here
- 1000+ DAILY GOVERNMENT AND NGOs JOBS VACANCY AVAILABLE TODAY .
- TAARIFA YA HABARI MASAA 24, SUBSCRIBE HAPA YOUTUBE CHANNEL YA Kamatia Online.