The lost of Simba history; This comes after Kagera sugar to score 1 goal against simba that scored 0.
Katika hali ya kushangaza, simba wamepoteza historia ya kutokufungwa leo baada ya kufungwa gori moja kwa sufuri dhidi ya Kagera sugar mbele ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na viongozi wengine wa selikali akiwemo Waziri wa sanaa na utamaduni Mh. Mwakiyembe.
Katika hatua nyingine, simba wamekosa gori la penati, ambapo Juma Kaseja Alidaka mkwaju wa penati kutoka kwa Emanuel Okwi.
Historia inaonyesha kuwa Juma kaseja siyo kwa mara ya kwanza kudaka mikwaju ya penati kwani aliwahi kufanya hivyo kipindi anaichezea Simba.
RECOMMENDED FOR YOU:
- CHECK SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES TO STUDY ABROAD - CLICK HERE
- HIGH EDUCATION LOAN FOR UNDERGRADUATE AND POST GRADUATE. CLICK HERE
- MAJINA WALIOCHAGULIWA AJIRA ZA SENSA 2022 - Selected Applicants For Census [ DFF ]. Click Here
- 1000+ DAILY GOVERNMENT AND NGOs JOBS VACANCY AVAILABLE TODAY .
- TAARIFA YA HABARI MASAA 24, SUBSCRIBE HAPA YOUTUBE CHANNEL YA Kamatia Online.