Ads Area

SPORTS UPDATES. SIMBA Vs KAGERA SUGAR SABABU ZA KUFUNGWA-HAJI MANARA.


Sports and Game Updates: Simba-1 Vs kagera Sugar-2.

Haji Manara Msemaji wa Simba Sports club amefunguka katika kurasa wake wa Facebook na kusema,
"Neno kutoka Dawati la Msemaji wa Mabingwa!!
Tumefungwa kwa sababu hatukucheza vzuri hususan kipindi cha kwanza! Kagera walikuwa bora uwanjani kutuzidi na hii ndio football!!
Waamuzi walichezesha vema na sasa tunajipanga kwa games zinazokuja,Muhimu wachezaji na benchi letu wajue hyo ni indications kwao ,ligi hii sio laini laini,wapambane kuturejeshea ubingwa wetu!!
Tukutane Mwanza,kiporo cha Ndizi kimechacha na kimewekwa Sukari,hakikulika!!"


Kwa Updates Nyingi zaidi Soma hapa Chini:

💥BREAKING NEWS: 

*NECTA UPDATES AND GRADE" A" TEACHER SPECIAL COURSE CERTIFICATE EXAMINATION  MAY ,2019 TIMETABLE.*

*NECTA Wametoa Taarifa Muhimu kwa Wahitimu wote Pamoja na Ratiba ya Mtihani Maalumu wa Waalimu Grade "A".*


_Unachotakiwa ni Kuingia Online na kuzifuanyia kazi Taarifa hizo_.

*_Kama ni Mhitimu au Unandugu aliyehitimu Bofya hapa chini kupata taarifa_*
👇👇👇
👇👇👇

https://officialmapatotz.blogspot.com/2019/04/breaking-news-grade-teacher-special.html?m=1
____________________________*

*BREAKING NEWS:*  *_SERIKALI YATANGAZA -UDHAMINI WA MASOMO KWA WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDATO CHA SITA KUSOMEA UNDERGRADUATES DEGREE NCHINI EGYPT_*✈

🤝💙 Shea Fursa hii kwa Wanafunzi Wote waliomaliza Form 6💙🤝

▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬

Scholarships Covers-Funded

👉 Unalipiwa Usafiri wa kwenda na Kurudi ✈
👉 Utapewa Accomodation Chuoni Hapo🏠
👉 Utalipiwa ada-Tuition Fee
👉 Utapewa Fedha ya Books&Stationaries
👉 Utapewa Hela ya Matumizi Binafsi💰
👉 Utapewa Huduma za Bima ya Afya Bure


Scholarships za Kusomea Kozi Hapa-EGYPT✈💰

• Nursing
• Pharmacy
• Dentistry
• Engineering
• Environmental & Energy
• Law
• Economics
• Communication & Mass Media
• Political Science
• Information & Computer
• Business Administration

Deadline: June 30, 2019

Tuma Maombi yako-Kupitia Address Iliyotajwa Hapa
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
https://officialmapatotz.blogspot.com/2019/04/scholarships-opportunities-2019-apply.html?m=1
▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬
*🗣🗣GOOD NEWS KWA KIDATO CHA TANO 2019: UFADHILI WA MASOMO KUTOKA TAASISI YA THE ISLAMIC FOUNDATION (TIF)*

*Wanahitajika Wenye Kutaka kusomea Taasusi Zifuatazo:-*

*📌Tahsusi za sayansi:- PCB, PCM na CBG*
*📌Tahasusi za sanaa:- HGL na HKL.*

*SIFA ZA WAOMBAJI:-*
♻Awe amepata daraja la I au II katika mtihani wa taifa  wa kidato cha nne mwaka 2018.
♻Awe na umri usiozidi miaka 25;
♻Awe ni mhitaji
♻Awe mtanzania ; na
♻Awe tabia njema.

*_Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30/04/2019._*

*Bofya hii link kutuma maombi yako sasa*
👇👇👇👇👇👇👇👇
https://officialmapatotz.blogspot.com/2019/04/introduction-as-muslims-we-feel.html?m=1

*🙏UNAOMBWA KUSHARE NA WENGINE FURSA HII IWAFIKIE WANAFUNZI WOTE WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE TANZANIA🙏*


 RECOMMENDED FOR YOU:

Join Our New Telegram Group For Jobs, Education, Scholarships and All Updates,  CLICK HERE

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad